Makbel JF-Expert Member Joined Aug 14, 2011 Posts 774 Reaction score 167 May 4, 2013 #1 Vipi hawa jamaa mwaka huu hawatoi mikopo? Na Je, wale wa mwaka jana walipata au ndiyo walitapeliwa?
FUJISTU JF-Expert Member Joined Mar 20, 2013 Posts 261 Reaction score 93 May 4, 2013 #2 gusa moto uone, kuna threads nyingi sana za ushuhuda juu wa hao watu, tafuta uchek
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,058 Reaction score 2,195 May 4, 2013 #3 Usithubutu kijana,utalizwa kama wenzio.
Makbel JF-Expert Member Joined Aug 14, 2011 Posts 774 Reaction score 167 May 5, 2013 Thread starter #4 Perry said: Usithubutu kijana,utalizwa kama wenzio. Click to expand... Khaaa!
Mgumu04 JF-Expert Member Joined Jul 15, 2011 Posts 1,940 Reaction score 1,055 May 7, 2013 #5 usijalibu ndugu alichukua pesa za application wakasepa
G Gerald Mdemu New Member Joined Feb 5, 2013 Posts 1 Reaction score 0 May 22, 2013 #6 hawa jamaa ni matapel coz hata ukifatilia pale ofisini kwao hawapo na hawajulikani wamehamia wapi,but itafahamika 2....na wizara iliyo husika kuwasajiri itatakiwa kutoa majibu sahihi juu ya swala hili,
hawa jamaa ni matapel coz hata ukifatilia pale ofisini kwao hawapo na hawajulikani wamehamia wapi,but itafahamika 2....na wizara iliyo husika kuwasajiri itatakiwa kutoa majibu sahihi juu ya swala hili,
njundelekajo JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 310 Reaction score 227 Oct 12, 2013 #7 Makbel said: Vipi hawa jamaa mwaka huu hawatoi mikopo? Na Je, wale wa mwaka jana walipata au ndiyo walitapeliwa? Click to expand... hawa jamaa wa hlssf wezi tu
Makbel said: Vipi hawa jamaa mwaka huu hawatoi mikopo? Na Je, wale wa mwaka jana walipata au ndiyo walitapeliwa? Click to expand... hawa jamaa wa hlssf wezi tu
S samubagula Member Joined Jun 24, 2013 Posts 89 Reaction score 4 Oct 12, 2013 #8 Tena hawafai kuigwa inabd kuwaepuka na wala waskudanganye waizi 2 hawana jipya!