Hod humu ndani

Hod humu ndani

Karibu sana mhishimiwa
Kabla ulikuwa unatumia id gani?
 
Nimekumiss mpaka naumwa.
Vipi kule shindanoni mshapata mshindi? Mpeleke huyu mgeni huko naye akashindane[emoji23]
Vumbi bado linatimka, mshindi hapatikani leo wala kesho. Thad, hapa tumevamia kwenye salaam za mtu!
 
Back
Top Bottom