Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're warmly welcomehodi am new member, please i need your support
Umejiangalia wapi ukajua wewe ni mbichi?Mmm Bado mie mbichi
Nimekupenda bure shemela....hodi am new member, please i need your support
Tuwe karibu sote Mimi mgeni mwenziohodi am new member, please i need your support
ungependa nikufanyie nini?Una fedha? Maana kuniweka Kama tambala la deki no no
Sawa mpenzi umepatakuandika na kutoa hoja//..sawa mpenzi?
Nipo nasubiri jibu hapaUmejiangalia wapi ukajua wewe ni mbichi?
Kama ndiye huyo kwenye Avatar ana urembo gani wa kutaka kumsifia hapa,mbona wa kawaida sana mkuu,acha kumjaza mwenzio ujinga,kumwambia tu karibu ilitosha sana..Unapokuja hapa hautakiwi kuongea kwa sauti kubwa namna hii....wewe ni mwanamke mrembo, njoo kwangu hapa PM nikupe baraka kwanza kisha tujadiliane namna gani nikuruhusu kujiunga na JF.
Kama ndiye huyo kwenye Avatar ana urembo gani wa kutaka kumsifia hapa,mbona wa kawaida sana mkuu,acha kumjaza mwenzio ujinga,kumwambia tu karibu ilitosha sana..
Wewe mbishi wewe, utakuwa na shiida
Kigogo mimi feza ipo![emoji41][emoji41][emoji41]Una fedha? Maana kuniweka Kama tambala la deki no no