Hodi Dodoma,chakula Cha kipekee napata wapi maeneo

Hodi Dodoma,chakula Cha kipekee napata wapi maeneo

Panctuality

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2019
Posts
775
Reaction score
1,150
Habarini Wana Dodoma, nimeingia hapa jijini Leo jioni toka Mbeya,mwenye kujua location ambayo naweza kupata chakula Cha kitofauti kabisa mathalani ugali wa mtama au uwele na nyama ya punda anielekeze ili nikirudi Mbeya ije kuwa sintosahau radha ya hicho chakula
 
Mhhh pale awamu yangu ya kwanza kuingia jijini sikubahatika kuipata zaidi ya nyama kuku sijui magolima na nyama ng'ombe.
 
Habarini Wana Dodoma, nimeingia hapa jijini Leo jioni toka Mbeya,mwenye kujua location ambayo naweza kupata chakula Cha kitofauti kabisa mathalani ugali wa mtama au uwele na nyama ya punda anielekeze ili nikirudi Mbeya ije kuwa sintosahau radha ya hicho chakula
Tafuta mgogo mwenyeji hadi lilaji cha choya atakuelekeza kinapopatikana pqmoja na mashamba ya zabibu.
 
Nitaenda kutembea huko wiki ijayo, fafanua hapo NBc na Fremu Mpya Mkuu
NBC
Chini Hapo Rungwe Guest Huduma Zipo
uwanja Wa Jamhuri Ukifika Kwenye Maeneo Wanapouza Mbao Mpaka Msangi
 
Habarini Wana Dodoma, nimeingia hapa jijini Leo jioni toka Mbeya,mwenye kujua location ambayo naweza kupata chakula Cha kitofauti kabisa mathalani ugali wa mtama au uwele na nyama ya punda anielekeze ili nikirudi Mbeya ije kuwa sintosahau radha ya hicho chakula
Mkuu kesho mapema usiache kunitembelea kwenye banda langu nnapouziaga majeneza japo uniungishe kaka
 
Back
Top Bottom