Hodi hodi Arusha, nyama choma wapi?

Hodi hodi Arusha, nyama choma wapi?

sem2708

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
5,414
Reaction score
4,534
Wakuu swali linajieleza. Naomba kujua eneo moto moto kwa nyama choma .
 
Tembo club mbuzi classic
Triple A nyama classic
Moshono lounge kwa Mr pork - kitimoto tamu + Njooy 'Sakina
8 8 point Njiro - vyuku amazing bei chee
Orlando garden - kuku kitunguu amazing
Washington + Ken garden - chini ya mti (makao mapya/ stend ndogo - kuku na nyama


Changanyikeni - Morombo
 
Tembo club mbuzi classic
Triple A nyama classic
Moshono lounge kwa Mr pork - kitimoto tamu + Njooy 'Sakina
8 8 point Njiro - vyuku amazing bei chee
Orlando garden - kuku kitunguu amazing
Washington + Ken garden - chini ya mti (makao mapya/ stend ndogo - kuku na nyama


Changanyikeni - Morombo
Usirudie kupaita kwa mrombo changanyikeni[emoji853]
 
Ukiambiwa kwa Morombo usiende.

Kule ni kuchafuchafu.

Tafuta sehemu nyingine palipokaa vizuri.

Hata vijiwe vya njiro na sakina afadhali.

Ila kwa morombo hapafai.
 
Ukiambiwa kwa Morombo usiende.

Kule ni kuchafuchafu.

Tafuta sehemu nyingine palipokaa vizuri.

Hata vijiwe vya njiro na sakina afadhali.

Ila kwa morombo hapafai.
Bora umemwambia ukweli

Nilikuwa naogopa kupaita pa'hovyo... Me kule jamani hapana bora nile ugali tembele nilale nyumbani.
 
Bora umemwambia ukweli

Nilikuwa naogopa kupaita pa'hovyo... Me kule jamani hapana bora nile ugali tembele nilale nyumbani.
Ukiona wanavyopasifia utadhani ni kijiwe amazing.

Siku niliofika nikaondoka nikaenda kula mbuzi safi pale Njooyi maeneo ya Sakina.
 
Ngaramtoni hutajuta ni best kwa nyama choma
 
Back
Top Bottom