Hodi hodi hodi tena....

Hodi hodi hodi tena....

unbwogaboy

Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
37
Reaction score
12
Wakuu kama mjuavyo me mgeni humu so naombeni mnipe muongozo jinsi ya ku-pm. Mwakora waiutu.
 
Na ugeni wako umeshapata wa kumPM?

Rudi mapokezi(jukwaa la utambulisho).
 
Mgeni uko speed!!
Kutia mguu tu unatafuta PM iliko
 
karibu! pm panda magari had ubungo af ukifka pale tafta magar ya pm ukipanda shuka mwsho wa gari
 
Sign kwenye kitabu cha wageni hapo kuwa na wewe umefika hapa.
 
Karibu JF


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom