Karibu Sana bi Dada michongo km yoote wew tu.Habarini wana jf m Ni mgeni humu ndani
naombeni mnikaribishe[emoji4]
Ni ke
Kabila mnyamwezi
Naishi dar
Education level- diploma
Umri 20+
Napenda sana marafiki haswaa wa kiume maana wakike umbea sana napenda mitikasi ya maendeleo maana m mwenyewe ni hustler sana
Wale watu wa hi’ niambie’ upo wapi... ooh plz NO!
Naona huyu sio mjukuu wako mkuu😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏Krb sana JF.
Haahaha subiri nitoke shule uwaite baadae banaDogo unaniruhusu niwaite akina cute b wamkaribishe mgeni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Dogo unaniruhusu niwaite akina cute b wamkaribishe mgeni?
Hahahahah sasa hapo haujatoka shule , ukitoka shule si ndiyo balaa?Haahaha subiri nitoke shule uwaite baadae bana
Yan huyo anapenda ukubwa kuliko hata pesa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi kumbe hadi kwako ni mdogo[emoji23][emoji23].
Sema sis unapenda ukubwa wewe.