Hodi hodi humu ndani

Hodi hodi humu ndani

Pney08

Member
Joined
Jun 22, 2019
Posts
64
Reaction score
37
Habarini wana jf m Ni mgeni humu ndani
naombeni mnikaribishe[emoji4]
Ni ke
Kabila mnyamwezi
Naishi dar
Education level- diploma
Umri 20+
Napenda sana marafiki haswaa wa kiume maana wakike umbea sana napenda mitikasi ya maendeleo maana m mwenyewe ni hustler sana

Wale watu wa hi’ niambie’ upo wapi... ooh plz NO!
 
Hapo umefika karibu pm mkuu kwa mabadilishano ya mawazo kidogo kama hautajali
 
Habarini wana jf m Ni mgeni humu ndani
naombeni mnikaribishe[emoji4]
Ni ke
Kabila mnyamwezi
Naishi dar
Education level- diploma
Umri 20+
Napenda sana marafiki haswaa wa kiume maana wakike umbea sana napenda mitikasi ya maendeleo maana m mwenyewe ni hustler sana

Wale watu wa hi’ niambie’ upo wapi... ooh plz NO!
Karibu Sana bi Dada michongo km yoote wew tu.
 
Yaani hapa ndo kwao karibu pm naamini ukikaa jambini nususaa itakuwa ndefu kabla waliobaki kula block
 
Umesahau kuweka picha pamoja na namba yako ya simu
 
Hahah duh kwahiyo mpk kuweka picha na namba?? Mh
 
Nimewapenda sana wana jf wenzangu wachangamfu wakarimu’ nimefulia nikawa na mawazo nimejiunga humu aiseeee najiona kama nimepata ajira
Ingawa kuna thread ni uzi mnaita ee
Niliipenda nikampm huyo mtu alijibu tu poa zingine zote hajanijibu jmn[emoji30]
 
Back
Top Bottom