hodi hodi jamani

Joined
Dec 27, 2012
Posts
13
Reaction score
2
hodi humu wajameni, ukumbini naingia
kunilaki kazaneni, hoja niweze changia
nafasi pia nipeni, maswali kuulizia
pengine tena sioni, humu kufananishia.



mara baada ya shairi hilo la utambulisho, naomba kuingia ndani. na leo ntaanza na jf dokta nina swali langu lataka ufafanuzi.

Asanteni
 
Tukazane!!! Wewe vipi? Karibu sana.
 

Nimekubali wewe malenga
 
Tukazane!!! Wewe vipi? Karibu sana.
Globu, bila kukazana malengo mtafikia vipi? hakuna mafanikio bila jitihada mkuu, kwa hiyo inabidi wote, wake kwa waume tukazane, kila mmoja kwa nafasi yake ili kujenga nchi yetu.
PLAY YOUR PART IT CAN BE DONE.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…