Wakala
Member
- Dec 26, 2012
- 57
- 66
Habari za muda huu mabibi na mabwana,natumai wote ni wazima tena wenye afya tele,
Napenda kuchukua nafasi kumpongeza Mwanzilishi/Waanzilishi, ma cordinador na wana jamvini wote kwa jukwaa hl kuliendeleza na kulifanya liwe chachu kwa serikali, viongoz na wanajamvini kujifunza na kujrekebisha kwa namna moja ama nyingine.
NDUGU WANA JAMVINI NAOMBEN MNIPOKEE KAMA KIJANA WENU MWENYE LENGO LA KUJIFUNZA NA KUELIMISHA Wengne kwa namna moja ama nyngne.
Asanten sana Great thinker ,naomben mnikaribishe kwa kunipa
>muongozo
>sheria na
>utaratibu maana kla nyumba ina sheria zake ilizojiwekea!
Napenda kuchukua nafasi kumpongeza Mwanzilishi/Waanzilishi, ma cordinador na wana jamvini wote kwa jukwaa hl kuliendeleza na kulifanya liwe chachu kwa serikali, viongoz na wanajamvini kujifunza na kujrekebisha kwa namna moja ama nyingine.
NDUGU WANA JAMVINI NAOMBEN MNIPOKEE KAMA KIJANA WENU MWENYE LENGO LA KUJIFUNZA NA KUELIMISHA Wengne kwa namna moja ama nyngne.
Asanten sana Great thinker ,naomben mnikaribishe kwa kunipa
>muongozo
>sheria na
>utaratibu maana kla nyumba ina sheria zake ilizojiwekea!