Hodi! Hodi! Jukwaa la Siasa

Hodi! Hodi! Jukwaa la Siasa

Warioba E. W

Senior Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
163
Reaction score
64
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitumia ID iliyo na jina langu la bandia katika jukwaa hili.

Sasa naona umuhimu wa kutumia majina yangu halisi, hii itapelekea kufahamiana, kuibua na kujenga hoja mahususi bila kutumia lugha chafu.

Naomba Ritz naye aje humu kwa jina lake halisi kwani miongoni mwa ban nilizopigwa zimesababishwa na yeye. Watu kama Nnauye Jr, Le Mutuz aka zee la totoz, Zitto na wote wanaotumia Id za ukweli nawapa heko kwa changamoto wanazozikabili personally.
 
Karibu.....Sikumbuki ID yako ya bandia ikoje mkuu
 
tupe id yako ya zamani tukujue vema unajificha nini
 
Kuhusu ID mpya hilo msahau maana mtaanza kufuatilia madudu yake!
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitumia ID iliyo na jina langu la bandia katika jukwaa hili.

Sasa naona umuhimu wa kutumia majina yangu halisi, hii itapelekea kufahamiana, kuibua na kujenga hoja mahususi bila kutumia lugha chafu.

Naomba Ritz naye aje humu kwa jina lake halisi kwani miongoni mwa ban nilizopigwa zimesababishwa na yeye. Watu kama Nnauye Jr, Le Mutuz aka zee la totoz, Zitto na wato wanaotumia Id za ukweli nawapa heko kwa changamoto wanazozikabili personally.

Hili jina la Warioba E.W! nina mashaka nalo!
 
Kwa hiyo wewe ni mmiliki wa id mbili?

Kwa muda mrefu nimekuwa nikitumia ID iliyo na jina langu la bandia katika jukwaa hili.

Sasa naona umuhimu wa kutumia majina yangu halisi, hii itapelekea kufahamiana, kuibua na kujenga hoja mahususi bila kutumia lugha chafu.

Naomba Ritz naye aje humu kwa jina lake halisi kwani miongoni mwa ban nilizopigwa zimesababishwa na yeye. Watu kama Nnauye Jr, Le Mutuz aka zee la totoz, Zitto na wato wanaotumia Id za ukweli nawapa heko kwa changamoto wanazozikabili personally.
 
Karibu sana Mkuu ungetutajia ID ya zamani.Hata mi ndo jana nilitoka kifungoni nilikula Ban sababu ya Taswira na Tuntemeke.
 
Naomba Ritz naye aje humu kwa jina lake halisi kwani miongoni mwa ban nilizopigwa zimesababishwa na yeye. Watu kama Nnauye Jr, Le Mutuz aka zee la totoz, Zitto na wato wanaotumia Id za ukweli nawapa heko kwa changamoto wanazozikabili personally.

Kwa msaada wa Watu wa Marekani nitakujua wewe ulikua ni nani hapa Before!
 
:majani7: HIZI NAZO UVUTE UKIWA UMESHIBA, HUWA HAZINA MADHARA SANA KAMA UKIWA NA NJAA AU KABLA HUJALA KABISAAAAAA ASUBUHI!
 
cacico dah ujumbe umefika
Ila mhusika yupo hapa anatuchungulia tuu tunabishana kuhusu jina
 
Last edited by a moderator:
Ipo siku utajisahau kama mwizi wa simu kuja kukanusha na ID ya my web. Kwi kwi kwii
 
Last edited by a moderator:
Id yangu ya zamani sitaki hata kuikumbuka, imenikosanisha na watu wengi, imeniletea maadui. Nasita kuiweka hapa wasije nitoa roho mafisadi.

Ni busara kutoitaja ID hapa kwan utajikuta unaendeleza uadui wa zamani.
 
Back
Top Bottom