Hodi hodi kutoka kwa Kiranga

Hivi pale mabasi yanaposimamaga na kuwaacha abiria wale Kuku na kununua samaki panaitwaje Kiranga?
Napakumbuka sana,ni njia panda ya kwenda kilwa......
 
Karibu Kiranga wa Mkuranga...
Nikuulize? kwa nini umeamua kuanza huu uzi leo?
 
Duh,

Nashukuru kwa kunikaribisha na kukumbushana njia ya kwetu Mkuranga mpaka daraja la ahsante Nkapa, Somanga mpaka kanda za Nangurukulu etc.
 
Duh,

Nashukuru kwa kunikaribisha na kukumbushana njia ya kwetu Mkuranga mpaka daraja la ahsante Nkapa, Somanga mpaka kanda za Nangurukulu etc.

Waswahili wamefungulia mgahawa wa "kisasa" pale. Basi sio kulalamikia bei; walikua wamezoea samaki na kuku wa bure pale Somanga, sasa wanauziwa kuku na samaki Tsh. 3000 hadi 4000 wanaona maajabu ya dunia!!

Hongera mkuu, kokote huko kiswahili+kiinglishi!
 
This really beats me-hivyo Kiranga ni mzaramo???

Hahahaha,

This really beats me, hivyo Kiranga hatakiwi kuwa Mzaramo?

Etimology/ mzizi na maana ya neno "Kiranga" unaifahamu ilikotoka?

Utashangaa vipi Mzaramo kuwa na maneno mengi?
 
Salamu kwa Ekeke, Uliza na Mlemeni!.
 
nakumbuka wakati nasoma minaki tulikuwa tunaenda msanga, masaki kwenda kufuata mihogo siku za weekend...nilikuwa na marafiki wengi wa kirazamo.. I miss them.kwao shule it was like police post, but good friends cant forget that experience.
 
nakumbuka wakati nasona minaki tulikuwa tunaenda msanga masaki kwenda kufuata mihogo siku za weekend...nilikuwa na marafiki wengi wa kirazamo.. I miss then.kwao shule it was like police post, but good friends cant forget that experience.

Hahaha,

Minaki pale pua na mdomo na kwetu. Unapokutana na watu, tisa kati ya kumi hawakupi picha halisi.

Mlifika Mwanarumango?
 
Who's that Kiranga are you talking about??? Kiranga huyuhuyu asiyeisha mapya? Hivi aliishawahi kuwa mpya humu jamvini?huwa namuona kama kitu rather than Mtu,that's Kiranga, my JF model.
 
Last edited by a moderator:
Who's that Kiranga are you talking about??? Kiranga huyuhuyu asiyeisha mapya? Hivi aliishawahi kuwa mpya humu jamvini?huwa namuona kama kitu rather than Mtu,that's Kiranga, my JF model.

yeah,,,He ha a human side in him...take time to meticulously read his posts.....ila sasa huu ndio ulikuwa upigaji hodi makini sio siku hiz bana....glad kwamba I joined the bandwagon to welcome him back in 2009....of course I am his senior in that regard...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…