Wa FJ nilikuwa sipo hapa nchini sasa nimerudi na nategemea kuwa nitakutana na wana JF hapa Moro nitakapokuwa nikiishi sasa naomba nikaribishwe. Ni kweli kuna siku nilisema ipo siku angalau nitamfahamu mtu hata wa ndani ya nyumba hii lakini hadi leo hakuna hata mmoja ninayemfahamu hata kwa kumuona hivyo wale wa Dar na Moro napenda kushirikiana nanyi kama mwana jamii mwenzenu. Hapa nipo Kilakala kwa sasa.
Wa FJ nilikuwa sipo hapa nchini sasa nimerudi na nategemea kuwa nitakutana na wana JF hapa Moro nitakapokuwa nikiishi sasa naomba nikaribishwe. Ni kweli kuna siku nilisema ipo siku angalau nitamfahamu mtu hata wa ndani ya nyumba hii lakini hadi leo hakuna hata mmoja ninayemfahamu hata kwa kumuona hivyo wale wa Dar na Moro napenda kushirikiana nanyi kama mwana jamii mwenzenu. Hapa nipo Kilakala kwa sasa.
Moro ndo kwetu Maskani,
Niwapo najivinjari asilani
Viwanja tulivu kama jamvini
Karibu sana Moro, mji kasoro bahari
zunguka zunguka mitani, utaona utulivu mwanana
kama si mtawala, Kihonda, Forest, Kigurunyembe hata kilakala
karibu sana Moro Mji kasoro bahari.
Uwapo hapo Moro viwanja huzuria,
Kingstone, Moro hotel na hilux bila kusita
pitapita pale kahumba asiliani usivue viatu
zungukia Moro night lakini nako uwe makini
karibu sana Moro, mji kasoro bahari.
poa nitafanya hivyoUkifika hakikisha unamtafuat Akili Unazo au Next Level utapata good time kuliko maelezo!!Pia unaweza kumtafuta mnyalu mmoja hivi ila kama vipi npm nikupe contact za hawa watu ili uwe unajuwa kunywa siyo unabip maake nihamisha TBL na SBL counter.huku pork au foil inasubiriwa kule liti executive pub
Moro ndo kwetu Maskani,
Niwapo najivinjari asilani
Viwanja tulivu kama jamvini
Karibu sana Moro, mji kasoro bahari
zunguka zunguka mitani, utaona utulivu mwanana
kama si mtawala, Kihonda, Forest, Kigurunyembe hata kilakala
karibu sana Moro Mji kasoro bahari.
Uwapo hapo Moro viwanja huzuria,
Kingstone, Moro hotel na hilux bila kusita
pitapita pale kahumba asiliani usivue viatu
zungukia Moro night lakini nako uwe makini
karibu sana Moro, mji kasoro bahari.
Wa FJ nilikuwa sipo hapa nchini sasa nimerudi na nategemea kuwa nitakutana na wana JF hapa Moro nitakapokuwa nikiishi sasa naomba nikaribishwe. Ni kweli kuna siku nilisema ipo siku angalau nitamfahamu mtu hata wa ndani ya nyumba hii lakini hadi leo hakuna hata mmoja ninayemfahamu hata kwa kumuona hivyo wale wa Dar na Moro napenda kushirikiana nanyi kama mwana jamii mwenzenu. Hapa nipo Kilakala kwa sasa.
Wa FJ nilikuwa sipo hapa nchini sasa nimerudi na nategemea kuwa nitakutana na wana JF hapa Moro nitakapokuwa nikiishi sasa naomba nikaribishwe. Ni kweli kuna siku nilisema ipo siku angalau nitamfahamu mtu hata wa ndani ya nyumba hii lakini hadi leo hakuna hata mmoja ninayemfahamu hata kwa kumuona hivyo wale wa Dar na Moro napenda kushirikiana nanyi kama mwana jamii mwenzenu. Hapa nipo Kilakala kwa sasa.
asante kwa mashairi yako kaumba siendi maana si mchezo pale au kumebadilika?
Kilakala Bong'ola? Mie huwa nakula maji Rombo bar. Alafu nguruwe (KITIMOTO) napata pale Madizini. Kwa sasa siko huko, ila nikifika nitakutafuta. Lakini ni vema uwe unalamba ulabu.
Kipenzi, sasa ile nyama ya twiga ndo umenichunia? Orait, sasa kwa nini unataka ugomvi? Kipapatio cha arusha!ukitoka Moro ...... uje na huku makao makuu ya JF hapa A-Town....huku huwa hakuna mzaha.....binafsi nitakutembeza hadi maeneo ya Yaeda.....natumaini unatumia nyanyi choma
Mkuu mcheki maty fasta you will be connected hasaka sana. We in dar, tunakukaribishaKahumba eneo hatarishi mkuu. Karibu Morogoro mji hauna migogoro wala kokoro. Mji wahitaji nafasi kama kula nanasi. Wahitaji kufikiri sio kikiri.
Mkuu mcheki maty fasta you will be connected hasaka sana. We in dar, tunakukaribisha