Hodi hodi Morogoro

Hodi hodi Morogoro

Maria Roza sasa mbona hiyo moro najiona kama nipo pekee yangu? Watu kibao wamesema kuwa watanipm lakini kimya napenda sana kuonana na wana JF wa hapa Moro.
 
Maria Roza sasa mbona hiyo moro najiona kama nipo pekee yangu? Watu kibao wamesema kuwa watanipm lakini kimya napenda sana kuonana na wana JF wa hapa Moro.

Zipuwawa karibu moro ngoja nikupm basi
 
mimi nipo morogoro ndugu tutafutane tubadilishane mawili ma3
 
Zipuwawa karibu katika mji tulivi japo foleni zimeanza siku hizi, wadau tupo toa contact mkuu
 
Kama vipi leo jisogeze Glonency pale 8.8, tutakuwa tunakaribisha weekend na wazee wa Ngwasuma...
 
Wa FJ nilikuwa sipo hapa nchini sasa nimerudi na nategemea kuwa nitakutana na wana JF hapa Moro nitakapokuwa nikiishi sasa naomba nikaribishwe. Ni kweli kuna siku nilisema ipo siku angalau nitamfahamu mtu hata wa ndani ya nyumba hii lakini hadi leo hakuna hata mmoja ninayemfahamu hata kwa kumuona hivyo wale wa Dar na Moro napenda kushirikiana nanyi kama mwana jamii mwenzenu. Hapa nipo Kilakala kwa sasa.

Karibu sana Ifakara mkuu.
 
Back
Top Bottom