Hodi hodi Morogoro

Maria Roza sasa mbona hiyo moro najiona kama nipo pekee yangu? Watu kibao wamesema kuwa watanipm lakini kimya napenda sana kuonana na wana JF wa hapa Moro.
 
Maria Roza sasa mbona hiyo moro najiona kama nipo pekee yangu? Watu kibao wamesema kuwa watanipm lakini kimya napenda sana kuonana na wana JF wa hapa Moro.

Zipuwawa karibu moro ngoja nikupm basi
 
mimi nipo morogoro ndugu tutafutane tubadilishane mawili ma3
 
Zipuwawa karibu katika mji tulivi japo foleni zimeanza siku hizi, wadau tupo toa contact mkuu
 
Kama vipi leo jisogeze Glonency pale 8.8, tutakuwa tunakaribisha weekend na wazee wa Ngwasuma...
 

Karibu sana Ifakara mkuu.
 
Thank u kwakunipm nami nimekupm
 
wazo lako zuri sana Maty hope tutafanya hivyo tukutane.
Usijali my dia, jamani mlioko moro nitumieni pm wapendwa tupate badilishana mawili matatu
 
Kama vipi leo jisogeze Glonency pale 8.8, tutakuwa tunakaribisha weekend na wazee wa Ngwasuma...
Hapo nasikia zinapigwa sana zile za enzi hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…