MPENZI JINI
Member
- Sep 11, 2013
- 12
- 3
Hodi wana jf ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia thread za watu mbalimbali na kuvutiwa sana. Leo nimeamua kukata shauri ili na mimi niwe niweze kuwa mchangiaji pia hata kuleta mada ambazo zitawajenga na wengine.