Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Nilijua tu ,Mwanamke kama wewe Pretty yaan Mama pretty ni nadra siku yako kua ngumu.Namshkuru muumbaji kwa kweli[emoji119]
Ulivyocheka umenifanya namie nmecheka mara nne zaidi haha[emoji1][emoji1]
Mkuu ndo maana tumetia Kambi hapa, maana mabaharia ndio sisi hapa hahahahhuyo mama pretty vurugu mechi ndo kama hzi, akija mama cute itakuaje?
acha ubasha ww kwaio umecheka double double sio bro
acha ubasha ww kwaio umecheka double double sio bro
πππ sawa mkuu mpira wa kona alafu djk 90 alafu za nyongeza 3,balaa lake sio poa hahahahaMkuu ndo maana tumetia Kambi hapa, maana mabaharia ndio sisi hapa hahahah
Mama pretty
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha umenipata vzuri Mkuu, unaambiwa huwa ni purukushani mpaka kipa naye huja kushambulia hahahhahahaha sawa mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23] sawa mkuu mpira wa kona alafu djk 90 alafu za nyongeza 3,balaa lake sio poa hahahaha
rHahahaha umenipata vzuri Mkuu, unaambiwa huwa ni purukushani mpaka kipa naye huja kushambulia hahah
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha hapo mam
r
hahaha hapo mambano yake kama ile game ya liverpool na flamingo fc dk ya 119 frimino namba 9 bora wa dunia akafanya yake πππππ ngoja nichokoze walio lala haters wa liverpool
Carlos The Jackal ww tena umerudi, unataka kwenda kula kwa mama pretty?
Carlos The Jackal ww tena umerudi, unataka kwenda kula kwa mama pretty?
Hahaha usipige kelele. Wakaamka wengi .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] umenishinda tabia
hahahaha sawa bwana mie nataka feedback tuHahaha usipige kelele. Wakaamka wengi .
Mwizi anakimbizwa kimyakimya
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha sawa bwana mie nataka feedback tu
aah humu jf kwa kibabe,huku ni mwendo wa bandle sio offer kama zingine uweke vocha uambiwe unapata free whatsapp
aah humu jf kwa kibabe,huku ni mwendo wa bandle sio offer kama zingine uweke vocha uambiwe unapata free whatsapp