Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikumis mpaka Moyo wangu ukaanza kuhangaika aiseeAbee
Hata upande mbinguni.. ushuke ardhini huwezi kuwa simba mkuu😊😊😊Hapana, siwezi kukudhuru kwani mie simba bibie!?
Wana jf wote wana haki sawa humu😁Baadhi sijazisoma!
Wao wanakuita hivyo Mimi usinipangie nikuite vipi..!😜😜
In magufulism voice..
Weeeeee hebu bwana 😂😂😂Avatar yako kuna mtu mmoja anaitumia huku WhatsApp kwangu. Natumaini utakuwa ni wewe 😀
Naona unataka ligi..Wana jf wote wana haki sawa humu😁
Tena ukuje pm😂😂😂Avatar yako kuna mtu mmoja anaitumia huku WhatsApp kwangu. Natumaini utakuwa ni wewe 😀
Salama kabisa
Eeeh hayaaaEbwanaaa ... Mwanadamu kaumbwa kua appreciated pale anapofanya lilo zuri !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe kijana?😂😂😂
Hayaaaa waambie mabaharia wako wamekutana na nyangumi😁😁Hao wanaitwa maBaharia !! Ukiruka juu wanaruka nawewe ,ukitua wametua nawee
Sent using Jamii Forums mobile app
Asiyejua maana...?
Yupo busy....
😂😂😂😂😂Nilikumis mpaka Moyo wangu ukaanza kuhangaika aisee
Nikataka nikuPM ..Ila nikawaza, Mimi nitakua wa wangapi?...
Ohoooooo nikajua naenda Kuingizwa kwenye kundi la watu maalumu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata upande mbinguni.. ushuke ardhini huwezi kuwa simba mkuu[emoji4][emoji4][emoji4]
Sijui kucheza😊Naona unataka ligi..
Umejipanga..?