hodi hodi naingia

hodi hodi naingia

STALLEY

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2012
Posts
623
Reaction score
219
hi kwa wanajamii forums wote mi ni memba mpya humu naitwa mjuzi wa mambo.lengo la kujiunga humu ni kujaribu kuongeza ujuzi wangu na kutoa ujuzi wangu kwa wengine naomba ushirikiano wenu
 
karibu sana, hapa ni kichwa kwa kwenda mbele, uzalendo wa nchi yetu kwanza!
 
Karibu sana tunategemea kupata maujuzi mengi kutoka kwako.
 
Back
Top Bottom