Hodi hodi ndungu zangu

Karibu...hatuna sheria rasmi ila huruusiwi kukashifu dini za watu tu....mengine yote ruksa
 
karibu lakini umeandika "ndugu zangu" badala ya "ndugu zangu"....wewe ni Mkenya?

halafu ujue kuna kabila moja nalijua tafsiri ya "ndungu" ni "korodani"!
 
nitajitahidi kuhimili misukosuko yote ya kule jukwaani! vipi mkuu unaweza kunipa dondoo za kule

Mkuu mimi ni raia wa kawaida sina cheo kuna msemaji wa jukwaa mwenyekit,katibu na tester huyu kazi yake ni kuchek mzigo kabla haujasapply kwa walaji watakuja wasemaji mda ukifika mkuu
Best regards
 
Reactions: Vcf
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…