Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,786
ha ha ha ha ha
Ulikua wap kuntafsilia... usiwe unachelewa hivyo 😊😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha ha ha
Haya..mi yangu macho tu.
Kule kwenye uzi mwingine wa huyu bint balaaaa
Hahaa,pole pole bana..amevuka stage ya kuitwa binti.
Ha haaa...hapana,mkuu huyu miliki wewe aisee...anakufaa coz anaswaga
Heaven Sent .. uje umuelekee huyu asiangukie fungu la wapenda pesa
Mmh ntamuweza kweli, maana swaga zake hatari, kumbe Qt = cute, ahaaaa akinitext inabiti nitafute mkalimani
Ulikua wap kuntafsilia... usiwe unachelewa hivyo
Nilikuwa MMU,sitochelewa tena dia
sumbai na Kaboom naomben mumpuuze ibra87 maana maneno yake ni ya kuigawa jamii forumNimefedheheshwa Sana, nimedhalilishwa sana na kuonewa sana. Maneno ya Kaboom na Sumbai sio kwamba tu yalikuwa mabaya bali yalikuwa yakikiuka kifungu cha tano B kifungu kidogo cha 2 A kisemacho Kila mbunge na mwanachama wa Jami gorums anayohaki ya kukamata fursa pasipo kuzuia Au kukatazwa na mtu mwingine. Kwa kutambua kifungu hiki nawaomba waheshimiwa. Kaboom pamoja na Sumbai waliondoe jina langu mara moja. Pia namtaka Mke Wangu Missyrose asiwasikilize hawa. Kwa heshina na taadhimA naomba kuwasilisha
Halafu umemwambia husband kuwa ibra anakutongoza?
Halafu umemwambia husband kuwa ibra anakutongoza?
Ngoja nimwambie haiwezekani anitongoze
kweli mkuu?Halafu umemwambia husband kuwa ibra anakutongoza?
Mbona hujaniambia? Paka kaka Kaboom aniambieNgoja nimwambie haiwezekani anitongoze
Yani siku zote hizo hujasema??..Au nae unampa sukariguru