Hodi hodi nipokeeni

Hodi hodi nipokeeni

Ha haaa...hapana,mkuu huyu miliki wewe aisee...anakufaa coz anaswaga
Heaven Sent .. uje umuelekee huyu asiangukie fungu la wapenda pesa

Mmh ntamuweza kweli, maana swaga zake hatari, kumbe Qt = cute, ahaaaa akinitext inabiti nitafute mkalimani
 
Mmh ntamuweza kweli, maana swaga zake hatari, kumbe Qt = cute, ahaaaa akinitext inabiti nitafute mkalimani

Ha haaa haa....
Amfundishe basi na dada mtumish awe na swagga...

Cc Heaven Sent
 
Last edited by a moderator:
Nimefedheheshwa Sana, nimedhalilishwa sana na kuonewa sana. Maneno ya Kaboom na Sumbai sio kwamba tu yalikuwa mabaya bali yalikuwa yakikiuka kifungu cha tano B kifungu kidogo cha 2 A kisemacho Kila mbunge na mwanachama wa Jami gorums anayohaki ya kukamata fursa pasipo kuzuia Au kukatazwa na mtu mwingine. Kwa kutambua kifungu hiki nawaomba waheshimiwa. Kaboom pamoja na Sumbai waliondoe jina langu mara moja. Pia namtaka Mke Wangu Missyrose asiwasikilize hawa. Kwa heshina na taadhimA naomba kuwasilisha
 
Nimefedheheshwa Sana, nimedhalilishwa sana na kuonewa sana. Maneno ya Kaboom na Sumbai sio kwamba tu yalikuwa mabaya bali yalikuwa yakikiuka kifungu cha tano B kifungu kidogo cha 2 A kisemacho Kila mbunge na mwanachama wa Jami gorums anayohaki ya kukamata fursa pasipo kuzuia Au kukatazwa na mtu mwingine. Kwa kutambua kifungu hiki nawaomba waheshimiwa. Kaboom pamoja na Sumbai waliondoe jina langu mara moja. Pia namtaka Mke Wangu Missyrose asiwasikilize hawa. Kwa heshina na taadhimA naomba kuwasilisha
sumbai na Kaboom naomben mumpuuze ibra87 maana maneno yake ni ya kuigawa jamii forum
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom