Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama una mpenzi ,mke ,mchumba kisha ukangudua ametoka kumegwa bila ya wewe kumfumania lakini kukawa na mazingila ya kukufanya uhisi hilo jambo na baada ya kumbana mhusika akakili kweli nimetoka kumegwa ungekuwa wewe ungechukua hatua gani? naomba mawazo yenu
Samehe nane mara themanini na nane.
Itategemea niko ktk mood gani!
Kwa hasira na wewe unammega huku ukimw3ambia kuwa unampenda sana
Ukishagundua ujue we ndo chanzo cha tatizo kama sio hulka yake... Unatakiwa kujifunza kufanya mapenzi not all people are gifted to be good lover! Kujitambua mwili wako kuutambua mwili wa mwenzio pindi mkiwa faraga ili umridhishe ni kitu muhimu sana...yaani wapi ukimgusa anajiskia raha.. Kutoka nje kunatokana na yeye kutokuridhika vile vile sio wanawake wote wanaoweza kudhubutu kuwambia wapenz wao kuwa hawawaridhishi.. kwa hiyo kaa nae muulize ufanye nini ili kuondoa hili tatizo...kumpiga chini au kum-lulu hakusaidii... Utawalulu wangapi?[/QU
hapo umenena mkuu, ila ujue si wote wanaomegwa nje ni kwamba hawatoshelezw kimapenz. TAMAA inatuponza wanawake.