bintishomvi
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 1,164
- 833
mimi ni mdau mpya
Kuwa Mvumilivu Tu Manake Humu Jamvini Kuna Kila Aina Za Ubongo. Anza Kufanya Mazoezi Ya Kuvumilia Madongo Na Kila Aina Ya Adha Humu Na Labda Ningekushauri Tu Kuwa Karibu Sana Na Mimi GENTAMYCINE Na Nitakuwa Karibu Yako Na Utajisika Raha Na Utamu.