Chongombili
Member
- Oct 26, 2012
- 6
- 2
Awali ya yote napenda kuwasilimu wote wakubwa kwa wadogo, shikamooni/vipi wandugu. Mimi ni mgeni ktk jukwaa hili hivyo naomba ukaribisho wenu. Natumai nitapata mengi mf kuelimika na kuhabarika kupitia kwenu. Ushirikiano nitawapa kwa asilimia zote. Asanteni