Mkata miti
Member
- Mar 19, 2017
- 9
- 5
Naomba mnipokee Mimi mgeni sizijui taratibu za hapa nackia humu ndani watu kuna watu wanamatusi kama nini na jeuri sana. Naomba maelekezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo unataka tukutajie mmoja mmoja umekuja kutibu tatizo auNaomba mnipokee Mimi mgeni sizijui taratibu za hapa nackia humu ndani watu kuna watu wanamatusi kama nini na jeuri sana. Naomba maelekezo
Busy hiyo busy gani ulikuwa unatia mbingu viraka au unaezeka ikuluAsanteni waugwana kwa kunikaribisha humu nilikuwa kimya kidogo kwasababu nilikuwa buzy