Hodi hodi zikome,huu mwaka naoa!...

Hodi hodi zikome,huu mwaka naoa!...

staki shari

Member
Joined
Feb 3, 2013
Posts
99
Reaction score
13
Wanajamvi nimeingia kilingeni,mechoka kusoma post za watu afu nashindwa changia.kiufupi mi ni kijana handsome wa kufa mtu,umri wa kati hv yani 26,tajiri flani, well educated,nina masters zangu 2.owning top ranked company ktk ulimwengu wa kibiashara, living mbezi beach near oasis <upepo unapovuma>, mzaliwa wa gas city, and most important is i'm SINGLE n READY to MINGO.
 
Wanajamvi nimeingia kilingeni,mechoka kusoma post za watu afu nashindwa changia.kiufupi mi ni kijana handsome wa kufa mtu,umri wa kati hv yani 26,tajiri flani, well educated,nina masters zangu 2.owning top ranked company ktk ulimwengu wa kibiashara, living mbezi beach near oasis <upepo unapovuma>, mzaliwa wa gas city, and most important is i'm SINGLE n READY to MINGO.

Karibu sana,unachokitafuta utakipata tu.
 
Back
Top Bottom