Hahahaa nimefurahiNjoo pm nkufundishe kuandika kwa rangi rangi
aya njoo pm sasaHahahaa nimefurahi
[emoji23] [emoji23] Usinikumbushe mbali weye. [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Karibu jf, kuwa mpole na usijifanye mjuaji saaaana bac utadumu jf. Ukija kwa meno ya juu utajuta kujiunga.
Pm ndo wapi?aya njoo pm sasa
Habari za siku mamuuh!?Karibu lkn uwe mvumilivu
Nzuri tu mamii za dar? Umetutenga sana..Habari za siku mamuuh!?
Huku kwema tu mwanza wanasemaje?Nzuri tu mamii za dar? Umetutenga sana..