munyambo p
Senior Member
- Aug 18, 2017
- 172
- 166
Wakuu mm ni mgeni humu ndani na naishi nchini Rwanda na nimependa jamii forum maana kuna mambo mengi yanayohusiana na maisha ya kila siku ya binadamu.
Mm munyambo naomba mnipokee kwa mikono miwili na nawakaribisha huku kwetu maana sisi wote ni ndugu.
Asante!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm munyambo naomba mnipokee kwa mikono miwili na nawakaribisha huku kwetu maana sisi wote ni ndugu.
Asante!!!
Sent using Jamii Forums mobile app