Hodi hodi

WayOut

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2015
Posts
752
Reaction score
173
Wasalaam wakuu!

Jamiiforums kwangu ni kama wikipedia ya bongo nilikua napita juu kwa juu sasa nimeamua kudumbukia kabisa ili niweze kuchangia na kuchangiana mawazo na wanajamii wenzangu wenye taaluma na uzoefu wa mambo kadha wa kadha kwa masuala tofauti tofauti.

Pamoja sana.
 
WayOut karibu this is wayin
 
Last edited by a moderator:
Me.....karibu JF....siasani ndio nyumbani


asante sana! Siasa mchezo mchafu ila ligi za waheshimiwa zina chekesha na uzuri zipo kwny series 'that u can't mic any point wanavyo jibizana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…