Hodi humu JF

Hodi humu JF

npo chuo cha uwaziri tbr mwaka wa pili
Vipi, hapo watoto wakali wapo?

Je unaweza kumfaham binti mmoja anatokea mara mwenye asili ya kihaya anaitwa Grace Josephat......!?
 
Kulingana na mtu unayemjibu. Kama ni mhuni mjibu kihuni(ila ban itakuhusu) kama ni mstaarabu mjibu kistaarabu
jamani nime pata mlezi humu naomba Numbisa uwe nami pale ninapo kuwa naenda wrong
 
Vipi, hapo watoto wakali wapo?

Je unaweza kumfaham binti mmoja anatokea mara mwenye asili ya kihaya anaitwa Grace Josephat......!?
mkuu mbona wewe age imisha left halafu bado una hitaji totoz why
 
kwa hiyo humu lugha za kiuhuni hazitakiwi
Lugha zakiuni peleka facebook alafu ukiwa unaandika andika maneno yaliyokamilika xxx azitakiwi, weka picha yako, namba yako, pamoja na mpenzi wako fanya ivyo haraka kabla atujakupiga ban.
 
Lugha zakiuni peleka facebook alafu ukiwa unaandika andika maneno yaliyokamilika xxx azitakiwi, weka picha yako, namba yako, pamoja na mpenzi wako fanya ivyo haraka kabla atujakupiga ban.
hivyo vyote sina kwa kweli labda namba ya babu ipo
 
Hichi cheo ulichonipa ni bure bure au kina mshahara?😀😀
hahaa haaaha posho ipo ila mpaka bidii ya kazi niione sasa nikwite dada;kaka;mama;mjomba;aunt nk
 
Napenda ujana chagua mwenyewe kati ya dada au aunti. Ukiniita higo jua na mie nitakuita dogo(kama ni jibaba huko ulipo mmh)
hahaa haaaha posho ipo ila mpaka bidii ya kazi niione sasa nikwite dada;kaka;mama;mjomba;aunt nk
 
Back
Top Bottom