kwa hiyo humu lugha za kiuhuni hazitakiwi
Sio kuaribu ni kuharibu.Mwana funzi = Mwanafunzi
Kwendana = Kuendana
Sa hh = Sahihi
Kuharibu = Kuaribu
Naomben = Naombeni
Karibu sana JF, kama sio mtu hasira utaifurahia sana
Vipi, hapo watoto wakali wapo?npo chuo cha uwaziri tbr mwaka wa pili
Bwana mdogo, si husawa ni usawa.husawa huu wa faru john huli kitu
Uhazili bana karibu na central police stationnpo chuo cha uwaziri tbr mwaka wa pili
Kaka , iyo *kuaribu* umechemkaMwana funzi = Mwanafunzi
Kwendana = Kuendana
Sa hh = Sahihi
Kuharibu = Kuaribu
Naomben = Naombeni
Karibu sana JF, kama sio mtu hasira utaifurahia sana
Lugha zakiuni peleka facebook alafu ukiwa unaandika andika maneno yaliyokamilika xxx azitakiwi, weka picha yako, namba yako, pamoja na mpenzi wako fanya ivyo haraka kabla atujakupiga ban.kwa hiyo humu lugha za kiuhuni hazitakiwi
hivyo vyote sina kwa kweli labda namba ya babu ipoLugha zakiuni peleka facebook alafu ukiwa unaandika andika maneno yaliyokamilika xxx azitakiwi, weka picha yako, namba yako, pamoja na mpenzi wako fanya ivyo haraka kabla atujakupiga ban.
jamani nime pata mlezi humu naomba Numbisa uwe nami pale ninapo kuwa naenda wrong
hahaa haaaha posho ipo ila mpaka bidii ya kazi niione sasa nikwite dada;kaka;mama;mjomba;aunt nk
Poa tupe namba yakehivyo vyote sina kwa kweli labda namba ya babu ipo