Cr wa familia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 1,064
- 1,442
Ngoja niuskilize mziki mpya wa nay kwanza soon nakuja na majibu bossKaribu tupo phase ya Tatu OKOA BANDARI ZA TANGANYIKA
Nasikia mkataba ni wa kudumu nasimamia upande wa nchi yangu pendwa kwa upande wenye haki juu ya yanayoendelea mkuu nawasilishaCr wa familia tupe msimamo wako kuhusu Bandari.
Asante mkuuKaribu
Nimekuelewa. Karibu.Nasikia mkataba ni wa kudumu nasimamia upande wa nchi yangu pendwa kwa upande wenye haki juu ya yanayoendelea mkuu nawasilisha
Asante mkuuNimekuelewa. Karibu.
AsanteKaribu sana
AsanteKaribu sana JamiiForums...
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......Cr wa familia wee ni me au ke
Me ni male bossCr wa familia wee ni me au ke
Asante mkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Kataa ndoa sawaMe ni male boss
[emoji23] πππ sio ndoa tu me hata mahusiano nayakataa boss tuko pamoja kwa hiloKataa ndoa sawa