Hodi humu

Hodi humu

21 February

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2017
Posts
3,280
Reaction score
2,814
Habari zenu wadau.
Mimi ni mgeni humu ndani naombeni mnipokee tafadhali.
Ni kwa muda sasa nimekua nikisikia watu wakiisifia jamii forum kwa kusheheni habari moto moto na mijadala mbalimbali ila nilishindwa kuwa member kutokana na sababu mbalimbali.
Ila sasa mimi ni member rasmi naomba mnipokee. Asanteni.
 
Naona cha muhimu tumkaribishe tu kujua ni me au ke haina umuhimu sana
 
Habari zenu wadau.
Mimi ni mgeni humu ndani naombeni mnipokee tafadhali.
Ni kwa muda sasa nimekua nikisikia watu wakiisifia jamii forum kwa kusheheni habari moto moto na mijadala mbalimbali ila nilishindwa kuwa member kutokana na sababu mbalimbali.
Ila sasa mimi ni member rasmi naomba mnipokee. Asanteni.
Karibu sana TopUp .

Hii ndiyo Jamii Forums uliyokuwa ukiisikia huko nje.The place where We dare to talk openly.
 
Ni kweli kiongozi ni kutaja jinsia sio muhimu sana.
kusema Tu WEWE N MWANAMKE AU MWANAUME UTAKUFA?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nyie new members ndio maan mnafany maisha yanakuwa magum huku Jf..

ila poa tu, tutajua hpo bdae
 
Back
Top Bottom