Hodi jaman

Karibu, jitambulishe.

Ili utambulisho ukamilike ni lazima uweke
-Jina lako halisi
-Picha yako halisi
-Namba yako ya simu
-Umri wako
-Mahali unapoishi.
Chief executive officer kazini
 
Umeona kaanza kuwa mjanja.. Alafu anaanza majibu ya kitoto

Watu kama hawa ni kuwaacha wafunzwe kwanza
Nyie ndiyo mmesababisha.
Humu jf mtu ata aje mlokole vipi, atakayokutana nayo huku lazima ajiunge chama cha shetani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu humu Ni mawakala wakuu Wa shetani, kijana wawatu mmempokea juuu juu Kama ndo anaingia dar kwa Mara ya kwanza, aisee huyu kijana ilibakia kidogo tuu aombwe picha ya demu wake pamoja na namba ya simu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…