Baba Swalehe mpeleke mgeni kwa Mkuu wa Idara akasajiliwe kwenye Chama pendwa kilichoasisiwa na Ngoswe
ijia geto
Umeona kaanza kuwa mjanja.. Alafu anaanza majibu ya kitotoDaaahhh. Nyie watuuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila la kheri kapige buku hadi majengo yapasukeMe nmehitimu mwaka Jana kwa Sasa nangojea tare za kulipoti chuo coz nmechaguliwa butimba Ttc
Uo ni mtazamo wako kibaka mwenyeweWe inaelekea ni "kibaka" (utani) mzoefu, unaingia tu na umesha upload picha!
Chief executive officer kaziniKaribu, jitambulishe.
Ili utambulisho ukamilike ni lazima uweke
-Jina lako halisi
-Picha yako halisi
-Namba yako ya simu
-Umri wako
-Mahali unapoishi.
Nyie ndiyo mmesababisha.Umeona kaanza kuwa mjanja.. Alafu anaanza majibu ya kitoto
Watu kama hawa ni kuwaacha wafunzwe kwanza
Jiulize na ujijibuWewe kabila gani?
Leo unaenda shule?
Unaishi mtaani gani hapo Kahama?
Jamii Forum umeijulia wapi ? (Unafahamu nini kuhusu jamii ?
Huu ni upotoshaji wa wageni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ushangae Apo ndo wanajiona wajanja kumbe ndo ushamba kiwango Cha lamiHuu ni upotoshaji wa wageni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Huu ni upotoshaji wa wageni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We ni mshamba pia it haikiwa lengo kuwepo watu wazima Kama majibu ya kitoto ulichofanya wewe ukijuwa sio utaratibu uo ndo ulikuwa ukubwa au ukubwa jinga we pita ivi kolo nnUmeona kaanza kuwa mjanja.. Alafu anaanza majibu ya kitoto
Watu kama hawa ni kuwaacha wafunzwe kwanza
Ushawahi fanya ivoKila la kheri kapige buku hadi majengo yapasuke
Too honest or too modest? [emoji85]Poor boy.
Siku za mbele utapitia hii sredi utamani kupigana na watu flani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana humu is more of anonymity... Hivyo unavyofikiri vina procedures zake. On hata umebadilisha avatar chapu sana.Kawaida Sana mbona ni kulingana na ulivo tafsir wewe
Nan kakuuliza sasaHapana humu is more of anonymity... Hivyo unavyofikiri vina procedures zake. On hata umebadilisha avatar chapu sana.
Ahsante kwa kunifowadia hii nakala mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu humu Ni mawakala wakuu Wa shetani, kijana wawatu mmempokea juuu juu Kama ndo anaingia dar kwa Mara ya kwanza, aisee huyu kijana ilibakia kidogo tuu aombwe picha ya demu wake pamoja na namba ya simu