Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado hajalipia joining fee..[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado hajalipia joining fee..[emoji23][emoji23]
Hapo sawa, ukihitaji warembo wa humu utushtue tukuunganishe
The university of Jamiiforums (UJF).Hapana humu is more of anonymity... Hivyo unavyofikiri vina procedures zake. On hata umebadilisha avatar chapu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bora iwe ya korosho tuu.Naona roho yako imeizidi sasa ile roho ya korosho[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]Kuna watu humu Ni mawakala wakuu Wa shetani, kijana wawatu mmempokea juuu juu Kama ndo anaingia dar kwa Mara ya kwanza, aisee huyu kijana ilibakia kidogo tuu aombwe picha ya demu wake pamoja na namba ya simu
Chama cha mabaharia [emoji28][emoji41]Baba Swalehe mpeleke mgeni kwa Mkuu wa Idara akasajiliwe kwenye Chama pendwa kilichoasisiwa na Ngoswe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chief executive officer kazini
Teh ...Ndo ushangae Apo ndo wanajiona wajanja kumbe ndo ushamba kiwango Cha lami
Ukifika Butimba, tembelea Chuo cha SAUT, kuna shule hapo pembeni ya Wavulana ya Boarding, utaona majengo yalivyokarabatiwa. Hizo nyufa zilikuwa ni athari zanguWe
Ushawahi fanya ivo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwenda ata uyo Dem we mwenyewe hauna
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chama cha mabaharia [emoji28][emoji41]
Aya ban si mmeniokota LeoTeh ...
Daviee sory bwana
Si humu matani mengi sana mkuu wangu
Ila kuweka picha sio mbaya , yaani ni maamuzi yako naamini wewe hupendi korofisha serikali kama mimi
Angalia picha yangu hapo chini nipo na wazee wenzangu
Mwifwa yule kuleee View attachment 1156307
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Teh ...
Daviee sory bwana
Si humu matani mengi sana mkuu wangu
Ila kuweka picha sio mbaya , yaani ni maamuzi yako naamini wewe hupendi korofisha serikali kama mimi
Angalia picha yangu hapo chini nipo na wazee wenzangu
Mwifwa yule kuleee View attachment 1156307
Sawa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila ukitaka Demu usisite kunijulisha
Usiwaze kiongoziAya ban si mmeniokota Leo
Aisee na Mimi ningejitambulisha ndio mngeniokota hivoUsiwaze kiongozi
Hata sisi tuliokotwa kama wewe
Mi nltuma picha nakamua maziwa
Ngoja ipo siku na wewe utaokota mwenzako [emoji28]
Pole lakini , natumai tutakua marafiki sana kijana wangu
Acha mbwembwe kijana.. Heshima ni kitu kidogo sanaWe ni mshamba pia it haikiwa lengo kuwepo watu wazima Kama majibu ya kitoto ulichofanya wewe ukijuwa sio utaratibu uo ndo ulikuwa ukubwa au ukubwa jinga we pita ivi kolo nn
Hadi huruma[emoji30]The university of Jamiiforums (UJF).
Dawa ya mbishi huenda mbele na kurudi amevimba usoNan kakuuliza sasa