Hodi jaman

Naona roho yako imeizidi sasa ile roho ya korosho[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bora iwe ya korosho tuu.
 
Kuna watu humu Ni mawakala wakuu Wa shetani, kijana wawatu mmempokea juuu juu Kama ndo anaingia dar kwa Mara ya kwanza, aisee huyu kijana ilibakia kidogo tuu aombwe picha ya demu wake pamoja na namba ya simu
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ndo ushangae Apo ndo wanajiona wajanja kumbe ndo ushamba kiwango Cha lami
Teh ...

Daviee sory bwana

Si humu matani mengi sana mkuu wangu

Ila kuweka picha sio mbaya , yaani ni maamuzi yako naamini wewe hupendi korofisha serikali kama mimi

Angalia picha yangu hapo chini nipo na wazee wenzangu

Mwifwa yule kuleee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aya ban si mmeniokota Leo
Usiwaze kiongozi

Hata sisi tuliokotwa kama wewe

Mi nltuma picha nakamua maziwa

Ngoja ipo siku na wewe utaokota mwenzako [emoji28]

Pole lakini , natumai tutakua marafiki sana kijana wangu
 
Usiwaze kiongozi

Hata sisi tuliokotwa kama wewe

Mi nltuma picha nakamua maziwa

Ngoja ipo siku na wewe utaokota mwenzako [emoji28]

Pole lakini , natumai tutakua marafiki sana kijana wangu
Aisee na Mimi ningejitambulisha ndio mngeniokota hivo
 
We ni mshamba pia it haikiwa lengo kuwepo watu wazima Kama majibu ya kitoto ulichofanya wewe ukijuwa sio utaratibu uo ndo ulikuwa ukubwa au ukubwa jinga we pita ivi kolo nn
Acha mbwembwe kijana.. Heshima ni kitu kidogo sana

ila kama ndio ulivyofunzwa kwenu.. Haya hamna shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…