Husikeni na mada tajwa hapo juu jamani mm ni mgeni humu jf ninaomba mnipoke, mnishauri, na mnipe sheria ya humu jf
Holla 5 kwa majamaa zangu Daby CHARMILTON joanah na wengine wengi
Ulitaka tukukaribishe ndio hivo tena karibu sana jambo moja unapaswa kufahamu huku ndani kuna watu wana akili kama mchwa wanaweza wakaangalia maneno yako kadhaa halafu wakatumia kujenga picha pana ambayo inatosha kujua mambo mengi yanayokuhusuUmejuaje kama mm ni Raymond
Ahsante sana mkuu nadhan utakua rafiki yangu wa kunitembeza humu jfUlitaka tukukaribishe ndio hivo tena karibu sana jambo moja unapaswa kufahamu huku ndani kuna watu wana akili kama mchwa wanaweza wakaangalia maneno yako kadhaa halafu wakatumia kujenga picha pana ambayo inatosha kujua mambo mengi yanayokuhusu
KARIBU
Usijali mkuu I KNOW ALL DOOR AND CORRIDORS OF JFAhsante sana mkuu nadhan utakua rafiki yangu wa kunitembeza humu jf
Gracious bro....Ndio nilikua kama guest ila leo ndio naingia rasmi nilikua nausoma upepo kwanza brother daby
PoaMambo mrembo