R ruzuku Member Joined Sep 7, 2009 Posts 5 Reaction score 0 Sep 8, 2009 #1 Nafurahi kujiunga nanyi kwenye jamii forum.Nasema Hodi.
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,263 Sep 8, 2009 #2 karibu saaaaana.......kumbuka mkono mtupu haulambwi cahngia JF ikue.....
KiuyaJibu JF-Expert Member Joined Aug 29, 2007 Posts 848 Reaction score 191 Sep 8, 2009 #3 ruzuku said: Nafurahi kujiunga nanyi kwenye jamii forum.Nasema Hodi. Click to expand... Hata mimi nafurahi kuwa na wewe hapa jamvini;karibu sana.
ruzuku said: Nafurahi kujiunga nanyi kwenye jamii forum.Nasema Hodi. Click to expand... Hata mimi nafurahi kuwa na wewe hapa jamvini;karibu sana.
M Maamuma JF-Expert Member Joined Dec 22, 2008 Posts 848 Reaction score 306 Sep 8, 2009 #4 ruzuku said: Nafurahi kujiunga nanyi kwenye jamii forum.Nasema Hodi. Click to expand... Karibu sana, lakini ukumbi huu ni kwa ajili ya matangazo ya nafasi za kazi na tenda. Kuna ukumbi rasmi wa utambulisho. Hata hivyo, nami najiunga na wenzangu katika kufurahia kujiunga kwako na JF. "Kupotea njia ndio kujua njia". Karibu.
ruzuku said: Nafurahi kujiunga nanyi kwenye jamii forum.Nasema Hodi. Click to expand... Karibu sana, lakini ukumbi huu ni kwa ajili ya matangazo ya nafasi za kazi na tenda. Kuna ukumbi rasmi wa utambulisho. Hata hivyo, nami najiunga na wenzangu katika kufurahia kujiunga kwako na JF. "Kupotea njia ndio kujua njia". Karibu.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Sep 8, 2009 #5 Karibu sana mkuu jisikie huru kuchangia mada mbalimbali hapa jamvini.
B Boca1 Member Joined Jun 11, 2008 Posts 92 Reaction score 2 Sep 8, 2009 #6 Jile79 said: karibu saaaaana.......kumbuka mkono mtupu haulambwi cahngia JF ikue..... Click to expand... Karinbu sana
Jile79 said: karibu saaaaana.......kumbuka mkono mtupu haulambwi cahngia JF ikue..... Click to expand... Karinbu sana