Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,522
- 1,757
Hodi katika jamvi hili tukufu la uchambuzi yakinifu. Nakula kiapo leo hii kuwa mwanaJamvi muadilifu,na kuchangia mada kwa weledi na heshima kwa wanaJamvi wenzangu. Nitakubali kukosolewa pale nitakapokosea....maana lengo la mimi kujiunga kwenye Jamvi hili ni kujifunza na kupata uelewa katika mambo yanayonitatiza katika jamii na maisha yetu ya kila siku. Eeh Mungu nisaidie.
Ahsanteni.
Ahsanteni.