Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,012
- 1,995
Habari thenuu wanajukwaa
Nilikua nachunguliaga tuu ila now nmeingia rasmi jukwaani, naombeni mnipokee
Nilikua nachunguliaga tuu ila now nmeingia rasmi jukwaani, naombeni mnipokee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuukaribu ila jaribu kuweka avatar nyingine mkuu
Asante sanaaKaribu mkuu
Asantee mkuuKaribu sana mkuu
NimeshakaribiaKaribu
Karibu sana mkuu naona una jembe begani vipi unaenda kuchimba dawa nini!![emoji3] [emoji3]Habari thenuu wanajukwaa
Nilikua nachunguliaga tuu ila now nmeingia rasmi jukwaani, naombeni mnipokee
Mtoto wa mkulimaKaribu sana mkuu naona una jembe begani vipi unaenda kuchimba dawa nini!![emoji3] [emoji3]
Alafu mi mwanzo nilidhani ni wewe mr.hero mkuu kumbe huyu ni mwingine!!karibu ila jaribu kuweka avatar nyingine mkuu
Kweli au anaenda kuny🙂:Mtoto wa mkulima
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli au anaenda kuny🙂:
Alafu mi mwanzo nilidhani ni wewe mr.hero mkuu kumbe huyu ni mwingine!!
Ndio nilivyofunzwa hvyo kuwa na nidhamu mkuukaribu mkuu,ila uwe na nidhamu