HODI JF

Notorious jr

Member
Joined
Oct 2, 2016
Posts
13
Reaction score
16
Wadau hii ni mara yangu ya kwanza kujiunga na jf, mnipokee mja wenu, natumai tutakuwa wote na tutashirikiana vema katika mambo ambayo ni muhimu kwa ajili ya kuendeleza mshikamano.

Nipo kwenye chama la The blues,....sina mrengo wowote wa kisiasa....Asanteni nategemea ushirikiano wenu.
 
karibuuuuuuuuuuuu
 
Ukiwa na tatizo lolote kuhusiana na mambo ya uchawi ulozi na ushirikina tuwasiliane
 
Ukiwa na tatizo lolote kuhusiana na mambo ya uchawi ulozi na ushirikina tuwasiliane
Bora ata nimekuona aisee.

Hivi mshana huwezi kumpoteza JPM kama yule wa Malawi? au uchawi wako ni very limited?πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Bora ata nimekuona aisee.

Hivi mshana huwezi kumpoteza JPM kama yule wa Malawi? au uchawi wako ni very limited?πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
[emoji3] [emoji3] [emoji3] naogopa kuitwa mchochezi
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] naogopa kuitwa mchochezi
Ahaa kumbe unaweza ila unaogopa eeh?

Ebu ni PM bei ya kufanya hivyo pamoja na namba yako ya M-pesa.

Then I will take a journey+net to get himπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ahaa kumbe unaweza ila unaogopa eeh?

Ebu ni PM bei ya kufanya hivyo pamoja na namba yako ya M-pesa.

Then I will take a journey+net to get himπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…