Mbona mgen mkorofi hvoHamtaki kunikaribisha sio!?
Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
Babu huyo muache baadae atatuambia Id yake nyingine ipiSidhani kama wewe ni mgeni. Hadi signature umeweza kuedit fasta.
.
.
Kuku mgeni mara zote huwa na kamba mguuni. Karibu anyway
Asante sana mkuu...Mbona mgen mkorofi hvo
Anyway karibu sanaaaa jiskie uko nyumbn
Haha ila babu we sio mgeni umejuaje vigori wanapokelewaga fasta....na hyo signature umeedit ni dhahir we si mgeni multiple idAsante sana mkuu...
Sasa nashangaa napiga hodi halafu kimya tu wakati naona wageni wengine wanapokelewa, nadhani kwakuwa mi Babu ila angekuwa kigori ungekuta vurugu mechi kwenye huu uzi
Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
Tena hiyo signature naijua sana. Basi tu sikukariri ni nani. Huyu babu ni mgeni mwenyejiHaha ila babu we sio mgeni umejuaje vigori wanapokelewaga fasta....na hyo signature umeedit ni dhahir we si mgeni multiple id
Nsamehe lkn babu kama ntakuuzi
Kabisa inaonekanaTena hiyo signature naijua sana. Basi tu sikukariri ni nani. Huyu babu ni mgeni mwenyeji
Babu unaweza kutusaidia ID yako ya zamaniAsante mkuu nimekaribia
Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
Weka picha tuone kama wewe ni babuHamtaki kunikaribisha sio!?
Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
Uniudhi tena kwa lipi mjukuu wangu? mimi sijui kukasirika ujue. Mimi ni msomaji wa muda mrefu japo sikuwa nimejiunga, so huwa nafuatilia hata hili jukwaa la utambulisho naona warembo wanavyochangamkiwa.Haha ila babu we sio mgeni umejuaje vigori wanapokelewaga fasta....na hyo signature umeedit ni dhahir we si mgeni multiple id
Nsamehe lkn babu kama ntakuuzi
Usijali kabisa mjukuu mimi ni babu wa chuma, tena chuma cha pua. Kuhusu kuvurugwa hata mimi mwenyewe nimeshavurugwa kwahiyo tutamatch tuHuyu atakua babu wa plastic.ok anyway jisikie uko nyumbanj na uwe mvumilivu humu wenyeji wako wengi wetu tumevurugwa usije shangaa hata chooni nisikuelekeze maana jf imenoga sana
Post sent using JamiiForums mobile app