Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Hapo nimetumia lugha ngapi?Hebu jifunze kuandika kwa kutumia lugha moja kwa ufasaha;
Ukishaweza nitakupeleka jukwaa la watu wazima.
Au mods mnasemaje?
Mbili.Hapo nimetumia lugha ngapi?
Kuna neno gani ni la lugha nyingine kwenye nilichoandika?Mbili.
Andika maneno ya kiswahili vizuri.
Karibu jf
16yrs.Kuna neno gani ni la lugha nyingine zaidi ya kiswahili kwenye nilichoandika?
Lakini Umesema nimetumia lugha mbili.16yrs.
Kumbe hata hujui kama ni kifusi cha neno la kingereza.
Nyew ni neno la kiswahili?hilo ndiyo sijaelewa kabisa unamaanisha nini.Mimi n nyew memba mwenye 16yrs. Asanten.
Wapi nilisema "MEMBA" ni kumaanisha MEMBER?Na memba ukimaanisha member.
Kingereza Na kiswahili,nimeona asanteni,nimeona 16yrs.Lakini Umesema nimetumia lugha mbili.
Kama hujui nyew ni neno kutoka lugha gani Sasa kwanini ulisema nimetumia lugha mbili?Nyew ni neno la kiswahili?hilo ndiyo sijaelewa kabisa unamaanisha nini.
Soma vizuri mkuu, pale nimeandika asanten na sio asanteni. Au unanimezesha maneno?Kingereza Na kiswahili,nimeona asanteni,nimeona 16yrs.
Hapana sina kiburi mkuu bali najitetea kesi ya kubambikiwa.Wew una kiburi naona unavojbu wenyeji ni dhahiri wew utakuwa na undugu na @ushimeni
Ulimaanisha nini sasa ulipoandika 'mimi n nyew memba'?Wapi nilisema "MEMBA" ni kumaanisha MEMBER?
Under [emoji725] this is restricted areaMimi n nyew memba mwenye 16yrs. Asanten.
Na ndiyo maana tunakwambia andika maneno ya kiswahili vizuri.Soma vizuri mkuu, pale nimeandika asanten na sio asanteni. Au unanimezesha maneno?
Hiyo ni jibberish/Gibberish language maana yake utakavyotafsiri kwenye kichwa chako na ukapata maana sahihi basi uko sahihi, ila utabadirisha kama haujaamua kuelewea kwa vigezo au kusudi na maoni yako mwenyewe juu ya mleta mada.Ulimaanisha nini sasa ulipoandika 'mimi n nyew memba'?