Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
- Thread starter
- #21
Kwanini chini ya miaka 18 hawatakiwi Jamiiforums?Under [emoji725] this is restricted area
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini chini ya miaka 18 hawatakiwi Jamiiforums?Under [emoji725] this is restricted area
Ila asanten si neno la kiswahili.Na ndiyo maana tunakwambia andika maneno ya kiswahili vizuri.
Hiyo lugha unapaswa kuongea na mjinga mwenzako mnayeelewana.Hiyo ni jibberish/Gibberish language maana yake utakavyotafsiri kwenye kichwa chako na ukapata maana sahihi basi uko sahihi, ila utabadirisha kama haujaamua kuelewea kwa vigezo au kusudi na maoni yako mwenyewe juu ya mleta mada.
Jifunze kutoendeshwa na hisia bali utumie akili kufikiria na sio hisia.Hiyo lugha unapaswa kuongea na mjinga mwenzako mnayeelewana
Hiyo ni sheria/kanuni kutoka wapi?Ukimsemesha mtu lugha ya kijinga,asipokuelewa inabidi ubadilishe.
Lugha ya kijinga ni ipi kutoka wapi?Na hiyo nimeandika siyo lugha ya kijinga.ni maneno uliyokosea kuandika kwenye jukwaa la utambulisho.
Jamiiforums rules.Hiyo lugha unapaswa kuongea na mjinga mwenzako mnayeelewana
Samahani sana.sijamaanisha wewe ni mjinga,na sijawahi kumtukana Wala kumkosea mtu heshima humu jamvini.Jifunze kutoendeshwa na hisia bali utumie akili kufikiria na sio hisia.
Jifunze kuheshimu kila mtu haijarishi umewazidi umri au lah.
Jifunze kuheshimu na utaheshimiwa
Jifunze kukosoa kwa hoja na si matusi.
Na wapi nilisema mimi ni mjinga?
Mjinga ni nini?
Umejuaje kama mimi ni mjinga?
Ukishindwa kuonesha basi jiulize kati ya mleta mada na mtu ambaye anaongea kitu ambacho hakipo nani mjinga Kati yao.
Hiyo ni sheria/kanuni kutoka wapi?
Juu ya nini?
Kwanini iwepo?
Wapi nilisema kila mtu lazima anielewe ninapoandika chochote?
Wapi nilikuita uje uchangie na lazima unielewe?
Lugha ya kijinga ni ipi? Kutoka wapi? na wapi nimesema lugha niliyoandika ni ya kijinga?
Lugha ya kijinga ni ipi kutoka wapi?
Onyesha Wapi nilisema maneno niliyoyaandika nimeyakosea?
Jukwaa la utambulisho ili iweje baada ya kujitambulisha?
Kujitambulisha kwa nani?
Ukishindwa kujibu basi hujui ulichokiandika.
karibu mnoo teenagerMim n nyew memba. Asanten.