Aya mida gani utakuwepo hapoNjoo
Moro stend uchukue thatoo
Ngoja nikabook room pale morena mrembo upumzike kesho utapanda BM kwenda darWataalam wa hii njia wakujibu
Asee me nlikaa kirumba zaidiNakadori em nishauri hotel nzuri iliyokaribu na stendi ya mabasi mwanza nataka niingie apo siku chache zijazo
Muulize konda kama kuna siti ya wazi moro to dar tumalize safari pamojaWe bwana wewe hii kituo ni dsm . Mungu atusaidie tufike salama tuu
Yaani wote ni mwanza mpaka darπ²π²π²π². Aya bana mie nasubiri samaki wangu.Hili basi limejaa yanii ni level seat mzee baba
Nipo hapa msamvu nakusubiria hnikabidhi mzigo wanguYani wamekodii
Nilikuwa hapa flomi...ngoja nije fasta hapoUko sehemu gani mbona sikuoni?1
π π π πYani mzabzab ashatia timu uzi ushabadilika ushakuwa wa kulana