Hodi Mwanza

Ok safari njema ila utafika umechoka sana maana ulishazoea mwewe
 
Jaman si kuna uzi huku wanadai kisbo ndo zinafika haraka?? Eti japo bodi mbaya ila mashine nzuri??
Basi usijali nikirudi ally's itahusika. Ila hata hapa inaenda mwendo matata. Tunakaribia moro
Zamani sio kwa sasa, ila nikutakie safari njema ufike salama.
 
Basi mimi safari ya kukata ticket nilikiwa nawaza kisbo tuu
Hata ningekutana na kampuni zingine nisingewaelewa.
Nitapanda allys nikirudi maana hata hizi seat hapa ndani sio comfy kabisa..
Ukifika dodoma nijulishe mkuu nikupe zawadi ya zabibu😊
 
Cc Nakadori ,au huyu niliekaa nyuma yake ndo wewe! Maake simu yake inadisplay JF

Si ni mnene kiasi, halafu nywele umet.... Au basi nisimwage mtama, tukutane PM
 
Kisbo alikuwa zamani, sasa hivi ni allys kuanzia speed, comfortability, customer care. .Try out ukiwa unarudi dar. Karibu mwanza, ukihitaji machimbo ya dagaa, samaki just PM if in case huna mwenyeji
 
Cc Nakadori ,au huyu niliekaa nyuma yake ndo wewe! Maake simu yake inadisplay JF

Si ni mnene kiasi, halafu nywele umet.... Au basi nisimwage mtama, tukutane PM
Hahahahahah sio mimi bwana kwanza mbele yangu amekaa mdada
 
Cc Nakadori tunakaribia kuchimba dawa, jiandae! Hivi vitu wakishua hamuwezi elewa! Ukijihisi kusinzia weka simu yako kwenye hicho kikoba ulichokipakata! Usije kutulilia humu ndani ya bus!
 
Kisbo alikuwa zamani, sasa hivi ni allys kuanzia speed, comfortability, customer care. .Try out ukiwa unarudi dar. Karibu mwanza, ukihitaji machimbo ya dagaa, samaki just PM if in case huna mwenyeji
Usijali mkuu ntakutafuta pm
 
Jaman si kuna uzi huku wanadai kisbo ndo zinafika haraka?? Eti japo bodi mbaya ila mashine nzuri??
Basi usijali nikirudi ally's itahusika. Ila hata hapa inaenda mwendo matata. Tunakaribia moro
Ngoja nijisogeze hapo msamvu nikusalimie
 
Cc Nakadori tunakaribia kuchimba dawa, jiandae! Hivi vitu wakishua hamuwezi elewa! Ukijihisi kusinzia weka simu yako kwenye hicho kikoba ulichokipakata! Usije kutulilia humu ndanu ya bus!
Nilishasinzia kutoka dar hadi karibia mikesee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…