Hodi Mwanza

[emoji23][emoji23][emoji23] Naka aliyekukamata mwambie akuachie unatakiwa urudi dar
Nimekamatwa nimekamatika...
Ka kaka kapooole
Kasauti kake tu mie hoiiiii
Ntakahonga shamba la urithi ujue..
 
Nikienda mwanza utanipa no auntie ujue nina safari ya mwanza maswali sitaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usitake kujua nimecheka namna gani Auntie...

Namba nitakupa Auntie.. usiwaze..Na maswali yangu yanafuata soon..Najua utaniambia tu[emoji23]
 
Nimekamatwa nimekamatika...
Ka kaka kapooole
Kasauti kake tu mie hoiiiii
Ntakahonga shamba la urithi ujue..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah!!!
Muonge tu kwa kweli...
 
Ukiacha uchokozi wako nitazidisha mapenzi yangu kwako[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi yako kwangu siombi hata.. Ni order siyo request...

Usinipende uone sasa...Nitakufanya kitu mbaya Broh[emoji2]
 
Unaposema "mzee mwenzangu" unamaanisha wewe una uzee wangu? [emoji1787]
Acha kunichoea basi we binti[emoji3]
Umri unaenda Mzee Mwenzangu....
Kuna mambo yanakuja, kuna mambo yanaondoka[emoji2]

If you know... you know
 
Ha ha ha ha...
Ndiyo niseme Public namna hii kweli Eroni?

Privacy ni muhimu We'Mzee[emoji23]
Mimi najua yamekuja mapya mazuri na yameondoka mabovu ya zamani..😀😀

Yote ni heri vile umekuwa kabinti kakubwa...teeeena, wanasema mvinyo wa zamani ndio mtam zaidi😝🤪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…