So wats ur poison[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani kwani mie ndio nilianzisha mambo ya kulana....mbona mnataka kunisingizia jamani😂😂😂😂😂Yani mzabzab ashatia timu uzi ushabadilika ushakuwa wa kulana
Kuna watu wamekuwa supplier wa Samaki ghafla[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi nacheka nini lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikienda mwanza utanipa no auntie ujue nina safari ya mwanza maswali sitaki
Nakusalimia Mzee mwenzangu...Sema tu unacheka nini tucheke wote, au kama unanicheka nijue kabisa[emoji3][emoji3]
Vitu avipendavyo Eroni...Naleta unapokea na kushukuru, napanda bodaboda na kugeuza ninapotoka...[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na huu uzee unadhani zaidi ya kukabidhi mzigo nitaomba hata juice kweli[emoji3]
SawaNaka...Njoo inbox utawapata
Unaposema "mzee mwenzangu" unamaanisha wewe una uzee wangu? 🤣Nakusalimia Mzee mwenzangu...
Ukiacha uchokozi wako nitazidisha mapenzi yangu kwako😅😅😅😅Kuna watu wamekuwa supplier wa Samaki ghafla[emoji23]
Nicheke kwanza[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah!!!Nimekamatwa nimekamatika...
Ka kaka kapooole
Kasauti kake tu mie hoiiiii
Ntakahonga shamba la urithi ujue..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiacha uchokozi wako nitazidisha mapenzi yangu kwako[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Umri unaenda Mzee Mwenzangu....Unaposema "mzee mwenzangu" unamaanisha wewe una uzee wangu? [emoji1787]
Acha kunichoea basi we binti[emoji3]
Hahaha, haya binti!Umri unaenda Mzee Mwenzangu....
Kuna mambo yanakuja, kuna mambo yanaondoka[emoji2]
If you know... you know
Ha ha ha ha...Hahaha, haya binti!
Yamekuja yapi na yapi yameondoka.
Mimi najua yamekuja mapya mazuri na yameondoka mabovu ya zamani..😀😀Ha ha ha ha...
Ndiyo niseme Public namna hii kweli Eroni?
Privacy ni muhimu We'Mzee[emoji23]