Hodi Mwanza

Mimi najua yamekuja mapya mazuri na yameondoka mabovu ya zamani..[emoji3][emoji3]

Yote ni heri vile umekuwa kabinti kakubwa...teeeena, wanasema mvinyo wa zamani ndio mtam zaidi[emoji13][emoji2957]
Naaaaaaam....umemaliza yote..Niseme nini tena....

Mvinyo ni kama mbege tu.. unavyozidi kukaa ndivyo unazidi kuchachuka[emoji3]
 
Kutoboreka sana!! Hichi kiswahili hichi hichi...
 
We sijakusoma...kwanza njoo huku pembeni unipatie ule ubuyu bwana wengine hatujaelewa hata
 
Mwenyeji hajakula kimasihara kweli,karibu tena mwanza
 
Jaman wanawake sisi
Yani nyuma yangu hapa wamekaa couple...
Mdada anavyogombana na mumewe jaman . Mume anagombezwa huyu sijui huko ndani wanaishije...
Mara amsengenye WiFi yake ambaye alikuwa hana kazi sasa kapata kaziii...mara amsilibie dada wa watu kwa kaka yake ...
Yani jamani wanawake wa hivi ni mashetani. Hata umgombanishe mume na ndugu zake na wakagombana kweli ujue ipo siku upendo wa ndugu utarudi tu maana damu nzito...


Ila hayanihusu ngoja nisikilize huu wimbo wa gundu wa lava lava unaopiga hapa kwenye gari.

BTW niko nzega na chuma ya ally's
 
Nakadori bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…