naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 669
Wakuu habar za siku? Niliwamiss wakuu, nilipotea kdg humu! Yaliyonipata ni kuwa kuna siku nililkunywa bombardier nikasahau nywila yangu!!! Lkn baada ya muda kupita nilikumbuka! Nimekosa mijadala mingi humu ya kitaifa kwa maendeleo ya nchi yangu!