Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jina vipi, nitakaribishaje sumu? Labda useme ni sumu ya aina gani.
Basi umekuja vibaya,utarudi ulikotoka ukichuruzika damuSumu ya manyumbu mkuu.
Basi umekuja vibaya,utarudi ulikotoka ukichuruzika damu
🤣🤣🤣 Hapana bhanaKumbe bado mpo?
🤣🤣🤣 Hapana bhana
Ndo umerudi bila hata zawadi? Mikono mitupu? Rudi tu ulikotoka mkuu....Habari za humu wakuu. Nimerudi tena naomba mnipokee.
Amerudi na sumu,wanajf tujiandae ...Ndo umerudi bila hata zawadi? Mikono mitupu? Rudi tu ulikotoka mkuu....
Ndo umerudi bila hata zawadi? Mikono mitupu? Rudi tu ulikotoka mkuu....
HoE atakua alihama nchi 😁 kama yupo basi kavaa mask....kitambo sana sijamuonaHata wewe Eve jamani ni wa kunifanyia hivi?
By the way nimerudi na zawadi yako na ya HoE. Mlete hapa niwakabidhi kwa pamoja.
Amerudi na sumu,wanajf tujiandae ...
Maziwa mfukoni
HoE atakua alihama nchi 😁 kama yupo basi kavaa mask....kitambo sana sijamuona
Karibu tena karibu sana
Sumu.Habari za humu wakuu. Nimerudi tena naomba mnipokee.